Artwork

Contenido proporcionado por UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Todo el contenido del podcast, incluidos episodios, gráficos y descripciones de podcast, lo carga y proporciona directamente UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations o su socio de plataforma de podcast. Si cree que alguien está utilizando su trabajo protegido por derechos de autor sin su permiso, puede seguir el proceso descrito aquí https://es.player.fm/legal.
Player FM : aplicación de podcast
¡Desconecta con la aplicación Player FM !

UNICEF: Watoto walioko Rafah wasihamishwe kwani tayari wako taabani

1:39
 
Compartir
 

Manage episode 416869965 series 2027789
Contenido proporcionado por UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Todo el contenido del podcast, incluidos episodios, gráficos y descripciones de podcast, lo carga y proporciona directamente UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations o su socio de plataforma de podcast. Si cree que alguien está utilizando su trabajo protegido por derechos de autor sin su permiso, puede seguir el proceso descrito aquí https://es.player.fm/legal.
Janga la kibinadamu likizidi kushamiri kila uchao huko Ukanda wa Gaza, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linaonya kuwa kuzingirwa kijeshi kwa eneo hilo sambamba na operesheni za ardhini za kijeshi huko Rafah kutasababisha janga kubwa kwa watoto 600,000 waliosaka hifadhi kwenye eneo hilo. Taarifa ya UNICEF iliyotolewa leo mjini New York, Marekani inakumbusha kuwa amri ya kuhamia Rafah, kusini mwa Gaza iliyotolewa mwezi Oktoba mwaka jana na Israel imefanya eneo hilo sasa kuhifadhi watu wapatao milioi 1.2, nusu yao wakiwa ni watoto wakiishi kwenye mahema au nyumba zisizo kamilifu.Kwa kuzingatia mlundikano wa watoto, wakiwemo wengi walio hatarini wakihaha kuishi, pamoja na ukubwa wa ghasia zinazoendelea na njia za kutumia kukimbia zikiwa na vilipuzi au hakuna njia kabisa , UNICEF inaonya madhila zaidi kwa watoto na operesheni za kijeshi vitaongeza vifo zaidi vya raia na miundombinu ya huduma za msingi iliyosalia kusambaratishwa.Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Catherine Russell amesema zaidi ya siku 200 za vita zimekuwa ‘mwiba’ kwa watoto na Rafah hivi sasa ni mji wa watoto wasio na pahala salama pa kukimbilia Gaza. Iwapo operesheni kubwa za kijeshi zikianza, watoto sio tu watakuwa hatarini na ghasia, bali pia vurugu na kiwewe wakati ambapo hali zao kimwili na kiakili zimeshadhoofishwa.Hivyo UNICEF inasisitiza wito wa Kamati ya Mashirika ya UN kwa Israel ya kuzingatia wajibu wake kwa mujibu wa sheria ya kimataifa ya kibinadamu na haki za binadamu ya kupatia chakula na matibabu watoto na kuwezesha operesheni za kugawa misaada na kwa viongozi wa dunia kuzuia janga zaidi kwa watoto Gaza sambamba na sitisho la mapigano.
  continue reading

100 episodios

Artwork
iconCompartir
 
Manage episode 416869965 series 2027789
Contenido proporcionado por UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Todo el contenido del podcast, incluidos episodios, gráficos y descripciones de podcast, lo carga y proporciona directamente UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations o su socio de plataforma de podcast. Si cree que alguien está utilizando su trabajo protegido por derechos de autor sin su permiso, puede seguir el proceso descrito aquí https://es.player.fm/legal.
Janga la kibinadamu likizidi kushamiri kila uchao huko Ukanda wa Gaza, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linaonya kuwa kuzingirwa kijeshi kwa eneo hilo sambamba na operesheni za ardhini za kijeshi huko Rafah kutasababisha janga kubwa kwa watoto 600,000 waliosaka hifadhi kwenye eneo hilo. Taarifa ya UNICEF iliyotolewa leo mjini New York, Marekani inakumbusha kuwa amri ya kuhamia Rafah, kusini mwa Gaza iliyotolewa mwezi Oktoba mwaka jana na Israel imefanya eneo hilo sasa kuhifadhi watu wapatao milioi 1.2, nusu yao wakiwa ni watoto wakiishi kwenye mahema au nyumba zisizo kamilifu.Kwa kuzingatia mlundikano wa watoto, wakiwemo wengi walio hatarini wakihaha kuishi, pamoja na ukubwa wa ghasia zinazoendelea na njia za kutumia kukimbia zikiwa na vilipuzi au hakuna njia kabisa , UNICEF inaonya madhila zaidi kwa watoto na operesheni za kijeshi vitaongeza vifo zaidi vya raia na miundombinu ya huduma za msingi iliyosalia kusambaratishwa.Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Catherine Russell amesema zaidi ya siku 200 za vita zimekuwa ‘mwiba’ kwa watoto na Rafah hivi sasa ni mji wa watoto wasio na pahala salama pa kukimbilia Gaza. Iwapo operesheni kubwa za kijeshi zikianza, watoto sio tu watakuwa hatarini na ghasia, bali pia vurugu na kiwewe wakati ambapo hali zao kimwili na kiakili zimeshadhoofishwa.Hivyo UNICEF inasisitiza wito wa Kamati ya Mashirika ya UN kwa Israel ya kuzingatia wajibu wake kwa mujibu wa sheria ya kimataifa ya kibinadamu na haki za binadamu ya kupatia chakula na matibabu watoto na kuwezesha operesheni za kugawa misaada na kwa viongozi wa dunia kuzuia janga zaidi kwa watoto Gaza sambamba na sitisho la mapigano.
  continue reading

100 episodios

Todos los episodios

×
 
Loading …

Bienvenido a Player FM!

Player FM está escaneando la web en busca de podcasts de alta calidad para que los disfrutes en este momento. Es la mejor aplicación de podcast y funciona en Android, iPhone y la web. Regístrate para sincronizar suscripciones a través de dispositivos.

 

Guia de referencia rapida