Mradi wa KiTiKi wainua wakulima wadogo na wakimbizi nchini Tanzania
MP3•Episodio en casa
Manage episode 439366185 series 2027789
Contenido proporcionado por UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Todo el contenido del podcast, incluidos episodios, gráficos y descripciones de podcast, lo carga y proporciona directamente UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations o su socio de plataforma de podcast. Si cree que alguien está utilizando su trabajo protegido por derechos de autor sin su permiso, puede seguir el proceso descrito aquí https://es.player.fm/legal.
KiTiKi yaani Kilimo Tija Kigoma ni mradi wa kuimarisha mnyororo wa thamani ya kilimo cha wakulima wadogo, usawa wa jinsia na amani katika mkoa wa Kioma unaohifadhi wakimbizi zaidi kutoka Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Serikali na watu wa Jamhuri ya Korea wamechangia Dola za Marekani milioni 6 kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) ili kuimarisha kilimo cha wakulima wadogo na kuimarisha uhakikika wa chakula na lishe miongoni mwa wakimbizi na jamii zinazowahifadhi mjini Kigoma kwa miaka minne tangu mwishoni mwa mwaka juzi 2022. Anold Kayanda kupitia video ya WFP Tanzania anatupeleka mkoani Kigoma kaskazini magharibi mwa Tanzania kusikia manufaa ya mradi wa Kilimo.
…
continue reading
100 episodios