Artwork

Contenido proporcionado por UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Todo el contenido del podcast, incluidos episodios, gráficos y descripciones de podcast, lo carga y proporciona directamente UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations o su socio de plataforma de podcast. Si cree que alguien está utilizando su trabajo protegido por derechos de autor sin su permiso, puede seguir el proceso descrito aquí https://es.player.fm/legal.
Player FM : aplicación de podcast
¡Desconecta con la aplicación Player FM !

Mashirika ya UN yaonya kuwa maelfu ya maisha ya watu El Fasher Sudan yako hatarini

1:50
 
Compartir
 

Manage episode 418053447 series 2027789
Contenido proporcionado por UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Todo el contenido del podcast, incluidos episodios, gráficos y descripciones de podcast, lo carga y proporciona directamente UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations o su socio de plataforma de podcast. Si cree que alguien está utilizando su trabajo protegido por derechos de autor sin su permiso, puede seguir el proceso descrito aquí https://es.player.fm/legal.
Mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa leo yameonya kwamba maisha ya maelfu ya watu yako hatarini El Fasher Sudan, kufuatia mashambulizi makali yanayoendelea ambapo moja ya hospitali Darfur Kaskazini imeshambuliwa na kukatili maisha ya watu wawili lakini pia kuchochea hofu ya kurejea kwa baa la njaa. Kwa mujibu wa Mratibu wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa Martin Griffiths, “Shambulio hilo limeharibu paa la hospitali katika kituo cha huduma za dharura kwenye Hospitali ya Sourthen katika mji wa El Fasher ambayo ndio hospitali pekee inayofanyakazi kwas asa katika jimbo la Darfur Kaskazini na ambako vifaa vya matibabu na dawa sasa karibu vinakwisha.” Amesema takriban watu 800,000 wanaishi katika mji wa El Fasher na maelfu ya maisha yao yako hatarini huku taifa zima la Sudan likiwa katika hali mbaya.Shirika la kuratibu misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA limesema makumi ya raia waliuawa mwishoni mwa wiki katika mapigano mapya makubwa yaliyozuka Ijumaa kati ya vikosi vya serikali ya Sudan SAF na vikosi vya msaada wa haraka RSF katika eneo la Darfur Kaskazini ambalo ndilo lililosalia chini ya udhibiti wa serikali.Shirika hilo linasema hivi sasa karibu watu milioni 25 nchini Sudan wanahitaji msaada wa kibinadamu na watu milioni 17.7 miongoni mwao wanakabiliwa na hali mbaya ya kutokuwa na uhakika wa chakula na kuna hofu kubwa ya kurejea kwa baa la njaa Darfur.Nayo mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la luhudumia wakimbizi UNHCR na la uhamiaji IOM yamesema takriban watu 570,000 wametawanywa katika jimbo la Darfur Kaskazini katika miezi 13 iliyopita, wengine milioni 6.7 nchini Sudan ni wakimbizi wa ndani huku milioni 1.8 wamekimbilia katika nchi za jirani.
  continue reading

100 episodios

Artwork
iconCompartir
 
Manage episode 418053447 series 2027789
Contenido proporcionado por UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Todo el contenido del podcast, incluidos episodios, gráficos y descripciones de podcast, lo carga y proporciona directamente UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations o su socio de plataforma de podcast. Si cree que alguien está utilizando su trabajo protegido por derechos de autor sin su permiso, puede seguir el proceso descrito aquí https://es.player.fm/legal.
Mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa leo yameonya kwamba maisha ya maelfu ya watu yako hatarini El Fasher Sudan, kufuatia mashambulizi makali yanayoendelea ambapo moja ya hospitali Darfur Kaskazini imeshambuliwa na kukatili maisha ya watu wawili lakini pia kuchochea hofu ya kurejea kwa baa la njaa. Kwa mujibu wa Mratibu wa misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa Martin Griffiths, “Shambulio hilo limeharibu paa la hospitali katika kituo cha huduma za dharura kwenye Hospitali ya Sourthen katika mji wa El Fasher ambayo ndio hospitali pekee inayofanyakazi kwas asa katika jimbo la Darfur Kaskazini na ambako vifaa vya matibabu na dawa sasa karibu vinakwisha.” Amesema takriban watu 800,000 wanaishi katika mji wa El Fasher na maelfu ya maisha yao yako hatarini huku taifa zima la Sudan likiwa katika hali mbaya.Shirika la kuratibu misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA limesema makumi ya raia waliuawa mwishoni mwa wiki katika mapigano mapya makubwa yaliyozuka Ijumaa kati ya vikosi vya serikali ya Sudan SAF na vikosi vya msaada wa haraka RSF katika eneo la Darfur Kaskazini ambalo ndilo lililosalia chini ya udhibiti wa serikali.Shirika hilo linasema hivi sasa karibu watu milioni 25 nchini Sudan wanahitaji msaada wa kibinadamu na watu milioni 17.7 miongoni mwao wanakabiliwa na hali mbaya ya kutokuwa na uhakika wa chakula na kuna hofu kubwa ya kurejea kwa baa la njaa Darfur.Nayo mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la luhudumia wakimbizi UNHCR na la uhamiaji IOM yamesema takriban watu 570,000 wametawanywa katika jimbo la Darfur Kaskazini katika miezi 13 iliyopita, wengine milioni 6.7 nchini Sudan ni wakimbizi wa ndani huku milioni 1.8 wamekimbilia katika nchi za jirani.
  continue reading

100 episodios

Todos los episodios

×
 
Loading …

Bienvenido a Player FM!

Player FM está escaneando la web en busca de podcasts de alta calidad para que los disfrutes en este momento. Es la mejor aplicación de podcast y funciona en Android, iPhone y la web. Regístrate para sincronizar suscripciones a través de dispositivos.

 

Guia de referencia rapida