…
continue reading
Karibu Katika Makala ya Afrika mashariki hii leo inatuwama katika Mkoa wa Arusha palipo makao makuu ya Jumuiya ya Afrika mashariki tukiangaza juu ya miradi ya kilimo endelevu inayotekelezwa kwa ufadhili wa Shirika la maendeleo la Ufaransa AFD.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Raia wengi wa mataifa ya Afrika Mashariki hutegemea pakubwa sekta ya usafiri wa umma kusafiri kutoka sehemu moja hadi nyengine.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Historia ya rais mstaafu wa Tanzania, hayati Hassan Mwinyi wakati wa uhai wake.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Mwalimu Julius Nyerere alifanya kazi kwa bidii kuona kuwa Afrika inakuwa kitu kimoja.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Mwandishi wetu wa Mwanza Martin Nyoni anaangazia maisha ya kisiasa ya aliyekuwa waziri mkuu wa zamani nchini Tanzania Edward Lowassa.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Changamoto za kufungwa kwa mpaka kati ya Rwanda na BurundiPor RFI Kiswahili
…
continue reading
Vikosi vya SADC vinapelekwa mashariki mwa DRC kusaidia kurejesha amani. Hatua inayokuja baada ya kuondoka kwa vile vya Afrika Mashariki ambavyo vilituhumiwa na serikali ya Kinshasa kushindwa majukumu yao.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Makala ya wiki hii yanaangazia ahadi za rais Felix Tshisekedi katika muhula wake wa pili kama kiongozi wa DRC.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Wanafunzi wengi katika mataifa ya Afrika Mashariki wamerejea shuleni wiki hii.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Wachambuzi wa mambo wanasema kuwa hatua ya Somalia kujiunga na EAC, itaisaidia katika vita dhidi ya makundi ya watu wenye silahaPor RFI Kiswahili
…
continue reading
Makala ya wiki hii yanaangazia namna wanawake nchini Tanzania wamegeukia sanaa hii ya uchoraji.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Baadhi ya mataifa ya Afrika Mashariki yameendelea kufanya maandalizi kuelekea mvua za El Nino.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Sekta ya Nishati ndiyo mhimili muhimu wa maendeleo ya taifa lolote lile, Mathalan takwimu zinaonesha, mahitaji ya juu ya umeme yameongezeka ambapo serikali ya Tanzania inasema kuwa muelekeo ni kuongeza katika Gridi ya Taifa MW 218.67 na kufikia MW 1,913.22 ifikapo mwishoni mwa mwaka 2022/23.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Makala ya wiki yanaangazia namna wanawake waendeleza biashara ya samaki nchini TanzaniaPor RFI Kiswahili
…
continue reading
Jamii zinavyo shiriki katika utunzaji wa hifadhi ya RuahaPor RFI Kiswahili
…
continue reading
Zaidi ya watu milioni mia tano kusini mwa jangwa la sahara wanakabiliwa na tatizo la umeme.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Viongozi wa kundi la mataifa ya BRICS - Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini hvi karibuni wamekutana mjini Johannesburg nchini Afrika kusini na ajenda muhimu mezani ikiwa ni kukubali ombi la kuongeza wanachama wapya ndani ya muungano huo. Tunaangazia mkutano huu wiki hii.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Namna Jumuiya ya Afrika Mashariki inawapa vijana nafasi na fursa za kujiendeleza kimandeleo.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Ukabila umetajwa kuwa mojawapo ya mambo yanayochangia katika utovu wa usalama nchini DRCPor RFI Kiswahili
…
continue reading
Makala ya wiki yanaangazia athari za kiuchumi zinazotokana na maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama ya maisha nchini Kenya kwa bara AfrikaPor RFI Kiswahili
…
continue reading
Idadi ya vijana wamepoteza ajira na hata familia zao kutokana na athari za matumizi ya dawa za kulevya.Por RFI Kiswahili
…
continue reading
Baadhi ya wakulima wa mpunga tayari wanaiipa bakteria hiyo jina la Uviko wa mchelePor RFI Kiswahili
…
continue reading
Mwandishi wa Martin Nyoni amezungumza na wakazi wa Mwanza nchini Tanzania kuhusu uelewa wa matumizi ya sarafu Mpango huu wa viongozi wa jumuia hii yenye wanachana saba kwa sasa ulifasiliwa na baadhi ya wachumi kuwa ni sawa na kusukuma tofali kwenye kina kirefu cha bahari bila kuwa na matarajio ya kulifikia tena tofali hilo Umoja wa Fedha wa Afrika …
…
continue reading
Mwandishi wetu Martin Nyoni ameandaa Makala ya haya akiwa mjini MwanzaPor RFI Kiswahili
…
continue reading